nifanye nini nimpate mwanangu?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,848
2,670
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo. kipindi hicho damu inachemka kwa sana. akashika mimba na wala hakuniambia mimba ni yangu. baada ya kujifungua ndipo akaniambia kuwa mtoto ni wangu. sikutaka kukubali na akawa ananilazimisha na kutishia kunisusia mtoto. kila aliyemwona alisema mtoto ni wa kwangu. uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ikafika wakati nikaanza mchakato wa kumkubalia alichosema. ndipo siku tukakutana akaniambia kuwa yule mtoto si wangu na alikuwa anataka kunibambikizia tu. akasema kuwa ndugu wa bwana wake walikuja kumwona mtoto na wakaridhika kuwa ni damu yao. nikakubali shingo upande. huwa nakutana na rafiki yake wa karibu na huwa namuuliza kuhusu huyo mtoto nae anasema kuwa ni wangu, na kwamba wanawake wana siri sana. huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi) na nikimuuliza anakataa kabisa na kunipotezea. siku zinavyoenda nazidi kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli na ikibidi kuthibitishiwa ukweli. cha ajabu hadi leo hawajaongeza mtoto mwingine wakati huyo ana miaka 7 sasa. kuna uwezekano wa kumpata huyo mtoto au ndio basi?
 
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo. kipindi hicho damu inachemka kwa sana. akashika mimba na wala hakuniambia mimba ni yangu. baada ya kujifungua ndipo akaniambia kuwa mtoto ni wangu. sikutaka kukubali na akawa ananilazimisha na kutishia kunisusia mtoto. kila aliyemwona alisema mtoto ni wa kwangu. uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ikafika wakati nikaanza mchakato wa kumkubalia alichosema. ndipo siku tukakutana akaniambia kuwa yule mtoto si wangu na alikuwa anataka kunibambikizia tu. akasema kuwa ndugu wa bwana wake walikuja kumwona mtoto na wakaridhika kuwa ni damu yao. nikakubali shingo upande. huwa nakutana na rafiki yake wa karibu na huwa namuuliza kuhusu huyo mtoto nae anasema kuwa ni wangu, na kwamba wanawake wana siri sana. huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi) na nikimuuliza anakataa kabisa na kunipotezea. siku zinavyoenda nazidi kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli na ikibidi kuthibitishiwa ukweli. cha ajabu hadi leo hawajaongeza mtoto mwingine wakati huyo ana miaka 7 sasa. kuna uwezekano wa kumpata huyo mtoto au ndio basi?
Mithali 1 : 7 'kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa' hebu mrejee Mungu ukitubu dhambi ya kuiba mke wa mtu huku ukijua fika kuwa ni makosa, na Mungu atakupa maarifa, hata hivyo usirudie tabia hiyo mbaya
 
Three letters, DNA.

Na hiyo ni kwa consent ya huyo mama, kama anataka wote mjue ukweli.

Ama sivyo kubali tu, ulikuwa unafanya mambo kwa ashki tu na hukupanga kupata mtoto, na mtoto kuna chance kubwa si wako, kwa hiyo sahau tu.
 
Mi nadhani uendelee na maisha yako tu maana kitanda hakizai haramu.


Annina
 
mambo hayo sio unatuletea hapa, peleka tamwa huko ukadadadike na wenzako.....fankuro!!
 
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo. kipindi hicho damu inachemka kwa sana. akashika mimba na wala hakuniambia mimba ni yangu. baada ya kujifungua ndipo akaniambia kuwa mtoto ni wangu. sikutaka kukubali na akawa ananilazimisha na kutishia kunisusia mtoto. kila aliyemwona alisema mtoto ni wa kwangu. uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ikafika wakati nikaanza mchakato wa kumkubalia alichosema. ndipo siku tukakutana akaniambia kuwa yule mtoto si wangu na alikuwa anataka kunibambikizia tu. akasema kuwa ndugu wa bwana wake walikuja kumwona mtoto na wakaridhika kuwa ni damu yao. nikakubali shingo upande. huwa nakutana na rafiki yake wa karibu na huwa namuuliza kuhusu huyo mtoto nae anasema kuwa ni wangu, na kwamba wanawake wana siri sana. huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi) na nikimuuliza anakataa kabisa na kunipotezea. siku zinavyoenda nazidi kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli na ikibidi kuthibitishiwa ukweli. cha ajabu hadi leo hawajaongeza mtoto mwingine wakati huyo ana miaka 7 sasa. kuna uwezekano wa kumpata huyo mtoto au ndio basi?


Story yako haina flow ya kueleweka. Umetunga au umemodify situation. Kama ni kupotezea watu muda, wamekushtukia.
 
Kingi,

Kama yule mama uliyezaa nae anaishi na yule bwana, na wewe, suddenly, from nowhere, uibuke sasa hivi (after 7 years) useme ati yule ni mwanao, utaonekana kama umedata flani hivi. Kwanza utaanzaje?

Imekula kwako hiyo mjomba, anza mbele na maisha yako.

BTW, wewe huna mtoto/watoto wako?? kama unao, wapende hao kwanza na anza kuwajengea msingi bora wa maisha yao ya baadae (shule etc)
 
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo....... ..... uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ........... huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi)

ona mkorogo huo...... ulikuwaje na mke wa mtu ambaye hawafunga ndoa hadi leo? hukutembea na mke wa mtu.
 
Sure inabidi kukubali tu, labda itokee sintofaham na yeye (mwanamke) mwenyewe anieleze tena ukweli
 
Three letters, DNA.

Na hiyo ni kwa consent ya huyo mama, kama anataka wote mjue ukweli.

Ama sivyo kubali tu, ulikuwa unafanya mambo kwa ashki tu na hukupanga kupata mtoto, na mtoto kuna chance kubwa si wako, kwa hiyo sahau tu.

Kiranga umeongea kweli kuhusu issue ya DNA lkn gharama zake zikoje kwa hapo TZ maana nilisikia ni gharama kubwa kweli.

Hiyo issue ya jamaa inafanana na moja nimeiona kwenye program moja hivi channel 4 na DNA test ikaweka mambo hadharani.. Naona wazungu wanaenda kwenye program kama hizi ili kukwepa gharama maana inakuwa bure wakienda kwenye program kama hizi. Ebu kama unajua price ya kufanya DNA test bongo tufahamishane in future inaweza kuwa na umuhimu.
 
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo. kipindi hicho damu inachemka kwa sana. akashika mimba na wala hakuniambia mimba ni yangu. baada ya kujifungua ndipo akaniambia kuwa mtoto ni wangu. sikutaka kukubali na akawa ananilazimisha na kutishia kunisusia mtoto. kila aliyemwona alisema mtoto ni wa kwangu. uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ikafika wakati nikaanza mchakato wa kumkubalia alichosema. ndipo siku tukakutana akaniambia kuwa yule mtoto si wangu na alikuwa anataka kunibambikizia tu. akasema kuwa ndugu wa bwana wake walikuja kumwona mtoto na wakaridhika kuwa ni damu yao. nikakubali shingo upande. huwa nakutana na rafiki yake wa karibu na huwa namuuliza kuhusu huyo mtoto nae anasema kuwa ni wangu, na kwamba wanawake wana siri sana. huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi) na nikimuuliza anakataa kabisa na kunipotezea. siku zinavyoenda nazidi kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli na ikibidi kuthibitishiwa ukweli. cha ajabu hadi leo hawajaongeza mtoto mwingine wakati huyo ana miaka 7 sasa. kuna uwezekano wa kumpata huyo mtoto au ndio basi?

1. Mtoto wakati wote ni halali iliyo wazi kwa mama(mwanamke). Kinachofanya uhalali kwa mwanamme (baba) ni NDOA tu, peke yake. Hapana ndoa hakuna mtoto kwa mwanamme kwa maana ni zinaa imepita na ni mtoto wa upande mmoja. Kisharia hatia ya makosa ya zinaa kwa mwanamke ukiondosha ushahidi redhanded ni kule kwa yeye kushika uja uzito pasipo na ndoa. kama ukijitokeza basi ulitakiwa na wewe uadhibiwe kwa uzinifu kama huyo mwanamke.

2. Ukisikia neno linaloitwa "mtoto wa haramu" maana yake ni kwamba siyo mtoto wa haramu kwa mama yake, la hasha, bali ni mtoto wa haramu kwa yule mwanamme aliyebandikizwa kuwa baba yake na ilihali ya kuwa ndoa haikuwepo. Hivyo ni haramu yake.

3. Tafadhali usimfanywe abandikwe jina baya la "mtoto wa haramu" huyo mtoto kwa utamanifu na enjoyment yako ya kuitwa baba, hana kosa kustahili hivyo, na makosa mnayo nyinyi mliofanya zinaa. Shika njia yako utubie na huyo mama ashike njia yake na mwanawe atubie, kama nyote ni watu wa ku-reflect na kutubia. Dhambi unayoihadithia katika kadamnasi ni vigumu kufutika.
 
1. Mtoto wakati wote ni halali iliyo wazi kwa mama(mwanamke). Kinachofanya uhalali kwa mwanamme (baba) ni NDOA tu, peke yake. Hapana ndoa hakuna mtoto kwa mwanamme kwa maana ni zinaa imepita na ni mtoto wa upande mmoja. Kisharia hatia ya makosa ya zinaa kwa mwanamke ukiondosha ushahidi redhanded ni kule kwa yeye kushika uja uzito pasipo na ndoa. kama ukijitokeza basi ulitakiwa na wewe uadhibiwe kwa uzinifu kama huyo mwanamke.

2. Ukisikia neno linaloitwa "mtoto wa haramu" maana yake ni kwamba siyo mtoto wa haramu kwa mama yake, la hasha, bali ni mtoto wa haramu kwa yule mwanamme aliyebandikizwa kuwa baba yake na ilihali ya kuwa ndoa haikuwepo. Hivyo ni haramu yake.

3. Tafadhali usimfanywe abandikwe jina baya la "mtoto wa haramu" huyo mtoto kwa utamanifu na enjoyment yako ya kuitwa baba, hana kosa kustahili hivyo, na makosa mnayo nyinyi mliofanya zinaa. Shika njia yako utubie na huyo mama ashike njia yake na mwanawe atubie, kama nyote ni watu wa ku-reflect na kutubia. Dhambi unayoihadithia katika kadamnasi ni vigumu kufutika.

very interesting. wewe ni mchungaji, au shehe? una mafundisho mazuri, na yaelekea huna hatia weye
 
Kama stori hiyo ni ya kweli..basi bwana huyo ni **** ila mbaya!!! kwanza ni mzinzi na mwizi wa mke watu halafu anapata nguvu gani za kudai hivyo..si anajitafutia balaa
 
Mithali 1 : 7 'kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa' hebu mrejee Mungu ukitubu dhambi ya kuiba mke wa mtu huku ukijua fika kuwa ni makosa, na Mungu atakupa maarifa, hata hivyo usirudie tabia hiyo mbaya __________________

Tena tamaa yako itakupeleka motoni acha kabisa,mrudie Muumba wako.Hivi Kingi mbona unataka kuchefua wana jfhivo?
 
Kama stori hiyo ni ya kweli..basi bwana huyo ni **** ila mbaya!!! kwanza ni mzinzi na mwizi wa mke watu halafu anapata nguvu gani za kudai hivyo..si anajitafutia balaa
huwa inatokea, mkuu
Mithali 1 : 7 'kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa' hebu mrejee Mungu ukitubu dhambi ya kuiba mke wa mtu huku ukijua fika kuwa ni makosa, na Mungu atakupa maarifa, hata hivyo usirudie tabia hiyo mbaya kumbe mbaya hivyo? Sikujua __________________

Tena tamaa yako itakupeleka motoni acha kabisa,mrudie Muumba wako.Hivi Kingi mbona unataka kuchefua wana jfhivo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom