nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari za siku wakuu.
Mimi Ni kijana wenu baada ya miahangaiko ya Kutafuta Ajira Mungu mwema mwezi huu niliingia mkataba na shirika Fulani ambalo ni mkataba wa mwaka mmoja.
Sasa kwanini nimekuja kwenu naona Kichwa kishaanza kuwaka Moto lastly week nimepokea Mshahara lakini Hauwezi Kuamini Jumanne umeisha Wote.
Kuna mwanamke Ambaye natarajia aje kuwa mke wangu nimemuweza Kwa biashara,ndugu wa karibu nimeweza kuwapa Pia.
Naombeni Ushauri nifanyaje mshahara ukae maana naona Tunakoelekea mkataba unaweza kuisha na Hakuna Cha maana nilichopata.
Wakuu mnisaidie mdogo wenu
Basics ni kama 950K
Mimi Ni kijana wenu baada ya miahangaiko ya Kutafuta Ajira Mungu mwema mwezi huu niliingia mkataba na shirika Fulani ambalo ni mkataba wa mwaka mmoja.
Sasa kwanini nimekuja kwenu naona Kichwa kishaanza kuwaka Moto lastly week nimepokea Mshahara lakini Hauwezi Kuamini Jumanne umeisha Wote.
Kuna mwanamke Ambaye natarajia aje kuwa mke wangu nimemuweza Kwa biashara,ndugu wa karibu nimeweza kuwapa Pia.
Naombeni Ushauri nifanyaje mshahara ukae maana naona Tunakoelekea mkataba unaweza kuisha na Hakuna Cha maana nilichopata.
Wakuu mnisaidie mdogo wenu
Basics ni kama 950K