Nifanye nini mke wangu arudi?

Huyo ni mkeo au hawara, je umemlipia mahali kwao? Je umefunga nae ndoa kisheria na kutambulika ? Kama ndio , ulipoondoka ulimuacha wapi kwenu kwao au ulimuachia matumizi ,familia wanasemaje juu ya hilo?
 
kwani umezaliwa nae...? kwani yupo peke yake dunia nzima...? ana mnato wa aina gaani ambao huwezi kuupata popote...? acha utoto
 
Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.

Sasa tatizo lilikuja vipi

Mimi nili safiri kwenda zangu USA ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam.

Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.

Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu. Yaani maneno ya kujiamini sana.

Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.

Sasa jamani nisaidieni nifanye nini ili mke wangu arudi maana nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ameniganda kweli kweli.
Kwanza huyo siyo mke,huyo ni demu tu kama waitavyo wahuni ...hata hujielewi kama huyo siyo mke. kwa story fupi hiyo inaonyesha huyo si mke mzee
 
Inaonekana ulipopata mualiko wa kwenda US hukumshirikisha ipasavyo mkeo, maamuzi yalikua ni yako tu pengine ni kwa ajili ya kitete cha safari, tatizo lako si kwamba lilianza baada ya wewe kufika US bali tatizo lilianza hata kabla hujaianza safari yako.

Kuna jambo unajaribu kulificha hapa, kua muwazi usaidiwe, kitendo cha mkeo kukwambia kua 'Nimekukataa ili nikuonyeshe kua Marekani sio kitu mbele yangu" kina ashiria kua uliithamini safari yako zaidi kuliko mkeo,sasa umesharudi na akili imekurudi.
Huu ushauri mzuri wengi wakiona mwanamke anajibu kwa kujiamini tyr wanahis ana mtu.

NB: umeoa unaendaje kwenye wedding bila mkeo?, pesa haitoshi ni vema kubaki kuliko kumtenga mkeo kwenye shughuli za kifamilia utazani ye ni mchepko.
 
Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.

Sasa tatizo lilikuja vipi

Mimi nili safiri kwenda zangu USA ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam.

Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.

Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu. Yaani maneno ya kujiamini sana.

Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.

Sasa jamani nisaidieni nifanye nini ili mke wangu arudi maana nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ameniganda kweli kweli.
Tatizo ni kwamba hukwenda nae
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom