UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 566
Habari zenu wana jf!
Jamani nipeni mawazo nifanye nini kwa huyu Mwalimu wa shule ya msingi, mkoa na wilaya nahifadhi. Namdai laki 4 tangu mwez wa 3 nilimkopesha aende hospital huko Moshi, karudi kapona ananipiga tarehe.
Namheshimu naogopa kumuaibisha lakini nimesikia Waziri Mkuu atakuwa na ziara mkoa wa huyu mwalimu. Nimeamua nitamwambia majaliwa deni langu kwani hali ngumu sana na hanilipi au mwasemaje?
Afisa elimu wake kaniambia nimalizane nae yeye hana uwezo wa kumlipia.
Jamani nipeni mawazo nifanye nini kwa huyu Mwalimu wa shule ya msingi, mkoa na wilaya nahifadhi. Namdai laki 4 tangu mwez wa 3 nilimkopesha aende hospital huko Moshi, karudi kapona ananipiga tarehe.
Namheshimu naogopa kumuaibisha lakini nimesikia Waziri Mkuu atakuwa na ziara mkoa wa huyu mwalimu. Nimeamua nitamwambia majaliwa deni langu kwani hali ngumu sana na hanilipi au mwasemaje?
Afisa elimu wake kaniambia nimalizane nae yeye hana uwezo wa kumlipia.