Nifanye nini kuhakikisha nakuwa sio mvivu kwenye kusoma?

Duduke

Senior Member
Jul 12, 2020
112
104
Kutokana na matatizo mbali mbali niliyopitia mwaka wa kwanza chuo semester ya pili yamevuruga akili yangu imekuwa sio ile yenye nguvu kila kitu kwangu naona uvivu tu hadi kushika daftar Nipo mwaka wa pili semester 2 uvivu umenitawala jamani naomba counseling yoyote kama Upo tayari kunisaidia naomba uni pm
 
Fiki
Kutokana na matatizo mbali mbali niliyopitia mwaka wa kwanza chuo semester ya pili yamevuruga akili yangu imekuwa sio ile yenye nguvu kila kitu kwangu naona uvivu tu hadi kushika daftar Nipo mwaka wa pili semester 2 uvivu umenitawala jamani naomba counseling yoyote kama Upo tayari kunisaidia naomba uni pm

Fikiria ukifeli hapo maisha yatakuwaje ? .. thats enough to motivate you
 
Fiki

Fikiria ukifeli hapo maisha yatakuwaje ? .. thats enough to motivate you
Umeongea vizuri sana mkuu........mleta mada kazi kwako.

Kuna kipindi nilipitia shida kubwa nikiwa chuo ambayo ilifanya nifikiri kuacha kabisa chuo but nilivyowaza nina nini? na baada ya hapo nini kitaendelea nikakomaa na mwisho wa siku nikatoboa tena mpaka kuwa best student chuoni kwetu.

GOOD LUCK kijana.
 
Maisha mepesi ada unalipiwa pocket money ipo sasa mzuka wa kusoma utaupata wapi?
 
Kadri umri unavosogea nguvu ya kusoma inapungua. Above 25 years unasoma kwa kujilazimisha tu yaani.
 
Back
Top Bottom