Mtu ni watu
Member
- Mar 27, 2018
- 42
- 38
- Thread starter
- #41
Unanisaidiaje ndugu
Unanisaidiaje ndugu
Asante sanaHii hali ipo kwa watanzania wengi sana na inachangiwa na utamaduni wetu. Tunafundishwa unyenyekevu na kujazwa inferiority angali watoto mwishoe tunakuwa followers tu na si leaders kwenye kila kitu.
Kwenye nchi za Magharibi college huwa kuna soma la Public Speaking kuwajengea wanafunzi uwezo wa kujenga hoja na kujileza mbele ya watu sina hakika kama bongo hili somo linafundishwa vyuoni.
Kutatua tatizo lako, maadam tayari unajua una hilo tatizo anza kupitia materials zinazohusu public speaking kuna machapisho na videos nyingi online kuhusu hilo, na jitahidi kuwa mchangiaji kwenye mazungumzo na watu wako wa karibu badala ya kuwa msikilizaji tu itakujengea uwezo na ujasiri wa kuongea mbele za watu.
Bangi sitamani hata kujaribu ila pombe nishaacha japo hata kipindi natumia nilikuwa nabaki hivi hivi haikuwahi nisaidiaPiga konyagi au vuta bangi kabla ya kwendambele za watu
Ndugu hakuna anaependa kwenda hositali ila ni maradhi tu ndo hutupeleka huko.Asante ndugu kufundisha ndo kipaji ambacho nilinyimwa maana huwa siwezi kurudia kitu kilekile mara mbili au tatu hasira zinanipanda
akha hapa ndipo kiswahili kinakuwa kitata unamaanisha uroho wa kula au.?
Tafuta vitabu vya public speaking vitakusaidia vipo vingi
Niwe naangalia wap ??maana ni vigumu kutowaangalia
Hakika nitafanyia kaziUkishasoma vitabu on public speaking, anza na yafatayo:-
Michango ya wadau wote ipitie, iko vyema sana ukiifanyia kazi.
- Anza kuwa active jumuiya, kwenye vikao vya harusi au vya familia, kwenye ubishi vijiweni, kwenye kumbi za kuangalizia mpira, kwenye meetings za ofisini nk. Means kama kuna unachokijua hakikisha unakiwasilisha, mwanzoni ni shida ila unaanza hivyo hivyo
- Usiwaze kuhusu uwezo wa wale unaowaelezea jambo, jiamini, elezea unachokijua.
- Epuka kuongea huku ukiwaza kama hadhira imekuelewa au la, usiangalie reactions za wasikilizaji maana unaweza jikuta umeongezea vitu unnecessary.
Airwing amesema vizuri. Ukweli sio tatizo lako pekee hata mimi tatizo hili lilinitesa sana hadi nilipogundua kuwa linatokana pia na kutokuwa na exposure ya kuzungumza mbele za watu. Unajua watu wengi wanafikiri kuzungumza mbele za watu ni rahisi, mpaka upate exposure kama hujawahi ni vigumu sana.Huna Tofauti na Nilivyokuwa Mimi hapo mwanzoni..! Najipang ila Nikipewa fursa ya Kuongea yote nayasahau..!
Ila Mm nilikuwa mtu wa Kujitenga sana na Watu.
Kikubwa ndg jaribu Kujichanganya Na Vijana wenzio Mtaani, kwenye Draft au bao, Michezo mpilani, Jiunge na Jorging za Mtaani kwako.
i.Unawez Ukatumia watt kujijengea Ujasiri wakusanye baadhi arafu Ujitahidi kuongea nao kwa kuwafundsh kwa masimulizi ya hadithi au Matukio...
ii. Ukifanikiwa kwa watt watafute watu wa watoti hata wa Sekondari Jaribu kuwa fundisha kitu kuhusu maisha..
iii.Jikubali, Kuwa na Ujasiri, Ukiwa unaongea Usiwe unafikiri yale maneno yako, Thubutu.
Ukifanikiwa hatua hizi Jaribu siku Moja hata Kanisani kama ni Mkristo kwenda mbele kutoa Shukrani Kwa MUNGU kwa jambo lolote,..
3. Ukiwa Unaongea mbele za watu husiwaangalie watu husoni Unawez ukawa unatumia sekunde chachechache ukiwaangalia Vichwa vyao tu, Kingne ukiwa unaongea mbele za Watu husiangalie kama kila unachoongea kinawagusa au wanakiielewa, husimtafute sura ya Mtu unayemjua ukiwa unaongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa smartphone mkuu naweza
HhaahahaaaKwa smartphone mkuu naweza
Ungejaribu kuwaona wana psychology watakusaidia kubuild self-confidence yakoHabari zenu wana JF
Nimekuwa na tatizo la kushindwa kujieleza mbele za watu hasa watu ambao sijawazoea pia inaniwia vigumu kuongea na mtu ambae sijamuzoea.
Hili tatizo ninalo toka nijitambue pia nashindwa kujiamini sehemu muhimu kama kwenye usaili kitu ambacho kinanifanya nakosa nafasi za kazi kwa kutojiamini na kutojieleza vyema japokuwa ninauelewa na kazi husika.
Hii hali imekuwa ikinitesa sana kiasi kwamba kuna muda nikifikiria ninavojieleza mbele za watu mi mwenyewe napata aibu
Tafadhali naombeni msaada kama kuna mtu mwenye uelewa na hili tatizo linalo nikabili.
Natanguliza shukrani zangu
Nitakuwa najirekodi chumbani alafu nawaletea audio wasikilize mkuuHhaahahaaa
Dah,
Sasa mkuu, tukikupa kazi ya maemaji wa chama itakuaje?
Sent using Jamii Forums mobile app