Nifanye nini kuepuka tatizo la kutokujiamini na kushindwa kujieleza mbele za watu

Habari zenu wana JF

Nimekuwa na tatizo la kushindwa kujieleza mbele za watu hasa watu ambao sijawazoea pia inaniwia vigumu kuongea na mtu ambae sijamuzoea.

Hili tatizo ninalo toka nijitambue pia nashindwa kujiamini sehemu muhimu kama kwenye usaili kitu ambacho kinanifanya nakosa nafasi za kazi kwa kutojiamini na kutojieleza vyema japokuwa ninauelewa na kazi husika.

Hii hali imekuwa ikinitesa sana kiasi kwamba kuna muda nikifikiria ninavojieleza mbele za watu mi mwenyewe napata aibu

Tafadhali naombeni msaada kama kuna mtu mwenye uelewa na hili tatizo linalo nikabili.

Natanguliza shukrani zangu
tafta self help books ztakusadia sana. ukisoma naku practice vta boost Confidence , self esteem, kuitako fear na kudiscover your potential

Mwenyew Nilikua nashida ila now namshukur am much improving. previous nilikua naongea atasielew nmeongea nn can u imagine how bad it was.


Leaders read
 
Solution sio kuangalia pembeni au kutokuwaangalia waliombele yako, tatizo la kutokujiamini linakwenda ndani zaidi ya hapo linakwenda hadi kwenye inner man, kwenye identity yako.
Kwa maneno mengine ni wazi kabisa we mwenyewe hujikubali ndio maana hata mbele za watu unakosa kujiamini.

Unachotakiwa kufanyi ni kuamin kwamba kila mtu anamapungufu, hatuko perfect na tunawezo kosea wakati wowote, hili litakuondolea mzigo flan na itakupa kuwa confident. Ni swala la kurenew akili yako na mitazamo yako maana hiyo ndio imekupeleka hapo ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu tuko tofauti mimi kuongea na mtu mmoja mmoja najisikia aibu, ila nikiwekwa tu at the crowd ohoo utanisahau unafikiri sio mimi hiyo confidence nnayokua nayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipeleka barua ya kuomba kazi ajabu wakati naifungua nimpe bosi nikawa natetemeka aisee!!

Vile nipo morning speech ni kuchapia hadi aibuu mtu unakua kadooogo kama kifaranga cha tetere!

Pale unaingia in contact na mtu msiejuana na unahitajika ujitambulishe bas namute kama nusu dk nisijue nianzie wapi aisee!

Since primary nilikua mtu wa kujitenga na mkimya sana,infact nina hearing impairment na hii ndo reason ya kupenda kuwa alone

Yan tunateseka balaa na umri huu kitoto cha std 7 kinajieleza vzur kuliko sie!!
 
Back
Top Bottom