MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 145
Nilikutana na mwanamke maeneo ya Posta Feri Kivukoni nikavutuwa na muonekano wake nami sikusita kumwambia yaliyo moyoni mwangu.
Nilizungumza naye akanielewa na kunipa mawasiliano yake tukaendelea kuwa siliana na ndipo na yeye akanieleza vile anavyojisikia juu yangu tukakubaliana kuwa wapenzi lakini akaniomba tupime afya kabla ya chochoyte nikakubaliana naye na tulifanya ivyo na tukatimiza kile tulichokusudia kukifanya kwa pamoja siku hiyo.
Sasa baada ya hapo ananiambia kwa yeye ni mke wa mtu na ana mtoto mmoja isipokua mumewe ni mtu wa kusafiri safiri kikazi yaani akirudi nyumbani anaweza kaa week moja kisha akasafiri akaenda kukaa uko hata week 3 mpaka 4 takribani mwezi mmoja nikimtazama huyu mwanamke namuona mumewe anamuudumia vizuri tu amependeza ananga'a ni mwanamke mzuri kwa kweli na anaonekana ni mwenye kujieshimu na kujitambua pia toka nikutane naye.
Leo ananiambia kwamba ananipenda na kwa nini atukukutana mapema kabla sasa najiuliza je anamaana gani na anakusudio gani maana ameshaniambia yupo tayari kunizalia hata mtoto jamani wakina dada tuwape nini ili mridhike msitusaliti endapo tukiwa mbali au hata tukiwa karibu jamani ndio maana naogopa kuoa mpaka sasa.
Ushauri je mnanishauri nifanye nini juu ya uyu mwanamke baada ya kujua ni mke wa mtu nimuache au niendelee naye maana anasema nikimuacha nitamuumiza sana na mimi hua sipendi kumuumiza mwanamke kumuacha wakati tayari ameshanivulia nguo zake za ndani..Nifanye nini ndugu zangu.
Na pia nasikia imeandikwa kwamba ukitembea na mke wa mtu ni lazima ulipe kwa mkeo utakaye muoa naye lazima atakua analiwa nje na ukiwa umeoa pia arafu unatoka nje basi ni lazima mkeo naye awe analiwa nje au wanao wawe wanachezewa aswaaa tena awapewi hata sh 100 je ni kweli haya maandiko au ni story?
Ananiambia toka aolewe ajawai kuchrpuka ndio kwanza ameanzia kwangu lakini yeye akishika simu ya mumewe akosi kukuta mambo ya ajabu yaani mawasiliano na mwanamke mwingine
Nilizungumza naye akanielewa na kunipa mawasiliano yake tukaendelea kuwa siliana na ndipo na yeye akanieleza vile anavyojisikia juu yangu tukakubaliana kuwa wapenzi lakini akaniomba tupime afya kabla ya chochoyte nikakubaliana naye na tulifanya ivyo na tukatimiza kile tulichokusudia kukifanya kwa pamoja siku hiyo.
Sasa baada ya hapo ananiambia kwa yeye ni mke wa mtu na ana mtoto mmoja isipokua mumewe ni mtu wa kusafiri safiri kikazi yaani akirudi nyumbani anaweza kaa week moja kisha akasafiri akaenda kukaa uko hata week 3 mpaka 4 takribani mwezi mmoja nikimtazama huyu mwanamke namuona mumewe anamuudumia vizuri tu amependeza ananga'a ni mwanamke mzuri kwa kweli na anaonekana ni mwenye kujieshimu na kujitambua pia toka nikutane naye.
Leo ananiambia kwamba ananipenda na kwa nini atukukutana mapema kabla sasa najiuliza je anamaana gani na anakusudio gani maana ameshaniambia yupo tayari kunizalia hata mtoto jamani wakina dada tuwape nini ili mridhike msitusaliti endapo tukiwa mbali au hata tukiwa karibu jamani ndio maana naogopa kuoa mpaka sasa.
Ushauri je mnanishauri nifanye nini juu ya uyu mwanamke baada ya kujua ni mke wa mtu nimuache au niendelee naye maana anasema nikimuacha nitamuumiza sana na mimi hua sipendi kumuumiza mwanamke kumuacha wakati tayari ameshanivulia nguo zake za ndani..Nifanye nini ndugu zangu.
Na pia nasikia imeandikwa kwamba ukitembea na mke wa mtu ni lazima ulipe kwa mkeo utakaye muoa naye lazima atakua analiwa nje na ukiwa umeoa pia arafu unatoka nje basi ni lazima mkeo naye awe analiwa nje au wanao wawe wanachezewa aswaaa tena awapewi hata sh 100 je ni kweli haya maandiko au ni story?
Ananiambia toka aolewe ajawai kuchrpuka ndio kwanza ameanzia kwangu lakini yeye akishika simu ya mumewe akosi kukuta mambo ya ajabu yaani mawasiliano na mwanamke mwingine