Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wana jamvi hoja yangu inafanana na Pearl lakini tofauti yangu ni kuwa mm nimepata mkopo wa 7m with interest ya 18 % kwa miezi 12 na natikiwa kuwa nimerudisha hicho kiasi plus interest.
@Babalao popote ulipo nitakupigia na pia nahitaji kupata nakala ya kitabu chako
@Babalao popote ulipo nitakupigia na pia nahitaji kupata nakala ya kitabu chako