Nifanye nini ili niwe kama Profesa Paramagamba Kabudi.?

Jaslaws

JF-Expert Member
May 31, 2011
6,016
5,284
Leo jioni katika mdahalo uliorushwa na itv kwa kweli nimevutiwa sana na profesa Kabudi,sio kwamba sijavutiwa na wengine hapana watu wamefanya presentations zao kwakujiamini na kwa uhakika wote walikuwa wanavutia.

Kilichonivutia kwa Prof. Kabudi hasa ni jinsi alivokuwa ana present mada yake, hata kama mtu ni mgumu kiasi gani lazima umuelewa tu alijitaidi kufafanua na kuongea katika lugha ya picha na lugha nyepesi sana.

Kitu kingine kilichonivutia ni kujua vitu vingi.Mada yake ilikuwa inausiana na mambo ya Katiba ila nmependa jinsi alivyokuwa aki conect fields tofauti tofauti katika presentation yake,kagusia mambo ya biology,physikia,mambo ya uchumi,geographia historia,na mambo mengine mengi yani mpaka unajisahau kama anaemsikiliza ni mwanasheria.

Utafauti wake na wazungumzaji wengine ni akujikita katika sheria tu na alihakikisha hatoki nje ya mada,wadau nifanyeje ili kumaster mambo mengi kama huyu mzee?

Je, ni kusoma sana vitabu?

Karibuni wadau.
 
Leo jioni katika mdahalo uliorushwa na itv kwa kweli nimevutiwa sana na pro. Kabudi,sio kwamba sijavutiwa na wengine hapana watu wamefanya presentations zao kwakujiamini na kwa uhakika wote walikua wanavutia.

kilicho nivutia kwa prof.kabudi hasa ni jinsi alivokua ana present mada yake, hata kama mtu ni mgumu kiasi gani lazima umuelewa tu alijitaidi kufafanua na kuongea ktka lugha ya picha na lugha nyepesi sana.

kitu kingine kilichonivutia ni kujua vitu vingi.Mada yake ilikua inausiana na mambo ya katiba ila nmependa jinsi alivyokua aki conect fields tofauti tofauti katika presentation yake,kagusia mambo ya biology,physikia,mambo ya uchumi,geographia historia,na mambo mengine mengi yani mpaka unajisahau kama anaemsikiliza ni mwanasheria.
utafauti wake na wazungumzaji wengine ni akujikita katika sheria tu na alihakikisha hatoki nje ya mada,wadau nifanyeje ili kumaster mambo mengi kama huyu mzee?je ni kusoma sana vitabu?karibuni wadau.
vuta bangi
 
Penda kusoma na kufatilia field tofauti tofauti na kutoa muda wako mwingi kwenye kusikiliza na kuchota kilicho kizuri na kuachana na makapi. Lakini Prof. Kabudi Ni mzuri pia kwenye maswala ya Imani na Dini, so jaribu pia kujiimarisha pia katika nyanja hii kwani kutakusaidia sana kwenye ishu ya kujiamini na kuwa msafi kiroho na kiakili. Karibu tena
 
Leo jioni katika mdahalo uliorushwa na itv kwa kweli nimevutiwa sana na profesa Kabudi,sio kwamba sijavutiwa na wengine hapana watu wamefanya presentations zao kwakujiamini na kwa uhakika wote walikuwa wanavutia.

Kilichonivutia kwa Prof. Kabudi hasa ni jinsi alivokuwa ana present mada yake, hata kama mtu ni mgumu kiasi gani lazima umuelewa tu alijitaidi kufafanua na kuongea katika lugha ya picha na lugha nyepesi sana.

Kitu kingine kilichonivutia ni kujua vitu vingi.Mada yake ilikuwa inausiana na mambo ya Katiba ila nmependa jinsi alivyokuwa aki conect fields tofauti tofauti katika presentation yake,kagusia mambo ya biology,physikia,mambo ya uchumi,geographia historia,na mambo mengine mengi yani mpaka unajisahau kama anaemsikiliza ni mwanasheria.

Utafauti wake na wazungumzaji wengine ni akujikita katika sheria tu na alihakikisha hatoki nje ya mada,wadau nifanyeje ili kumaster mambo mengi kama huyu mzee?

Je, ni kusoma sana vitabu?

Karibuni wadau.
Kwakweli wakati huo hata Mimi alinivutia kiasi cha kumuona 'PRESIDENTIAL MATERIAL', lakini kwa kauli zake za hivi karibuni ........ DUH! 🤔🤔🤔🤔🤔🤔😀!
 
Leo jioni katika mdahalo uliorushwa na itv kwa kweli nimevutiwa sana na profesa Kabudi,sio kwamba sijavutiwa na wengine hapana watu wamefanya presentations zao kwakujiamini na kwa uhakika wote walikuwa wanavutia.

Kilichonivutia kwa Prof. Kabudi hasa ni jinsi alivokuwa ana present mada yake, hata kama mtu ni mgumu kiasi gani lazima umuelewa tu alijitaidi kufafanua na kuongea katika lugha ya picha na lugha nyepesi sana.

Kitu kingine kilichonivutia ni kujua vitu vingi.Mada yake ilikuwa inausiana na mambo ya Katiba ila nmependa jinsi alivyokuwa aki conect fields tofauti tofauti katika presentation yake,kagusia mambo ya biology,physikia,mambo ya uchumi,geographia historia,na mambo mengine mengi yani mpaka unajisahau kama anaemsikiliza ni mwanasheria.

Utafauti wake na wazungumzaji wengine ni akujikita katika sheria tu na alihakikisha hatoki nje ya mada,wadau nifanyeje ili kumaster mambo mengi kama huyu mzee?

Je, ni kusoma sana vitabu?

Karibuni wadau.
je bado unahisi huyu jamaa anafaa kuwa role model wako au unajutia hata uzi huu ulioanziasha miaka hiyo? kiukweli watu wanabadilika sana hasa pale wanapopata vinafasi, uwezo, nguvu na madaraka na kawaida sana kwa mwanadamu kuwa mnafiki kwa muda ambao hawezi na hana lolote mbele ya jamii utahisi huyu mtu ni mwerevu na ana busara za kutosha sasa ngoja apate hayo mambo manne nafasi, uwezo, nguvu na madaraka ndio utajua kumbe unafiki ndio pekee ulikuwa unamstahi kuonekana binadamu mbele ya watu
 
Back
Top Bottom