That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,188
- 3,599
Kwa jinsi mashamba ya kule yalivyo makubwa na ni porini, hata akipiga jingine ni ngumu kutambua.labda ungekua unamwambia akutumie picha ya kila step kupanda, kupalilia , kuvuna nk atleast uwe unajua kafikia wapi.
Mie ni mkorofi wa chini chini, we muulize tu KaruceePolee au alikuona gentleman huna makuu? Mi sijui ningemfanyaje aisee ningemng'ata pua
Sema hapo ilikuwa tu ni siku yangu ya kupigwa...