simba29
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 193
- 67
Nampenda sana huyu msichana <mwanamke> lakini kila ninachofanya naona yeye hana imani na mimi............nimemvisha pete,lakini bado anahsi nitamuacha.....tatizo ni kuwa ANAHISI IPO SIKU NITAMUACHA NA KUWA NA MPENZI MWINGINE...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...