Nilizaa mtoto na mwanamke (miaka 10)iliyopita,kwa kipindi chote hicho kila mtu alikua na maisha yake na hatukua na mawasiliano mpaka mwaka huu nilipopata mawasiliano nakufanikiwa kumkomboa mwanangu ambaye yupo kwa wazazi wangu na aonasoma darasa 3.Yeye alikua anaishi na mwanaume ambaye amezaanae watoto 2(miaka 7kwa 3) bila ndoa wala kutolewa mali na mimi nilishi na mwanamke tukazaa watoto 2(miaka5kwa1.5)bila ndoa wala mahari tumetengana kwa sasa.Yeye katelekeza watoto kwa mumewe kakimbilia kwangu na mimi nikampokea kwani mimi nakaapekeyangu kwani mkewangu yupo kwao na wanangu 2,Sasa napokea vitisho vya kurogwa na hatakuvamiwa na kuliwa kutoka kwa mumewe.Naomba ushauri wenu kwani anasema bora anywe sumu na si kurudi kwa yule mwanaume je nifanyeje hapo wana mmu.