Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Wadau naomba kuuliza, sijawahi kuendesha gari automatic ila leo nimekutana na tukio la kuogopesha sana kiasi cha kuja omba ushauri.
Gari automatic ikizima ghafla inapoteza uwezo wa brakes na controll ya gari kwa ujumla,sasa leo katika kuendesha mteremkoni gari ikazima sababu ya matatizo ya engine, katika mwendo mdogo tu sababu kulikua na magari kadhaa mbele, sikugundua mapema kuwa imezima sababu engine yake haina mtetemo kabisa ila ghafla nikahisi nimepoteza controll, usukani mgumu na ninazikosa brake, naanza isogelea gari ya mbele kwa kasi bahati niliwahi hazard na wa mbele aliniona.
Nikajitahidi kucontrol gari hadi nikapaki pembeni,sasa nikawa nimeepuka ajali lakini mawazo yakanijia vipi kama ningekuweko mwendo mkali,si ina maana leo ingekua hadithi nyingine?!
Naombeni kuuliza,inapotokea dharura kama hii,dawa yake ni kufanya nini?!
Gari automatic ikizima ghafla inapoteza uwezo wa brakes na controll ya gari kwa ujumla,sasa leo katika kuendesha mteremkoni gari ikazima sababu ya matatizo ya engine, katika mwendo mdogo tu sababu kulikua na magari kadhaa mbele, sikugundua mapema kuwa imezima sababu engine yake haina mtetemo kabisa ila ghafla nikahisi nimepoteza controll, usukani mgumu na ninazikosa brake, naanza isogelea gari ya mbele kwa kasi bahati niliwahi hazard na wa mbele aliniona.
Nikajitahidi kucontrol gari hadi nikapaki pembeni,sasa nikawa nimeepuka ajali lakini mawazo yakanijia vipi kama ningekuweko mwendo mkali,si ina maana leo ingekua hadithi nyingine?!
Naombeni kuuliza,inapotokea dharura kama hii,dawa yake ni kufanya nini?!