Ismo
Member
- Apr 19, 2018
- 19
- 11
Salaam wanajamvi.
Juzi nilipokuwa kwenye bajaji nilipoteza kadi ya bank, ID ya kupigia kura, kitambulisho cha uraia na bima ya afya, tafadhalini sana kwa mwenye namna ya kunisaidia kupata access ya vitu hivyo au mbadala wake, please anisaidie maana am stuck.
@Nawasilisha
Juzi nilipokuwa kwenye bajaji nilipoteza kadi ya bank, ID ya kupigia kura, kitambulisho cha uraia na bima ya afya, tafadhalini sana kwa mwenye namna ya kunisaidia kupata access ya vitu hivyo au mbadala wake, please anisaidie maana am stuck.
@Nawasilisha