Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 715
Nakushauri weka nyavu tu uingie gpsum ukiweka zikichelewa kupata rangi baadae hazing'ai ukiweka madirisha kabla hujasikim nyumba baadae mavumbi yataharibu madirisha
kuvunjika,ndo maana tiles zinakuwaga za mwishoJukwaa kwenye tiles linaathiri nini labda tujue ikiwa ataweka kwanza