Naombeni msaada wa kiushauri kutokana na bajeti yangu ni ndogo na nahitaji kuhamia kwangu haraka inavowezekana nahitaji angalau nifanye vitu viwili kati ya hivyo vitatu je nifanye nini na nini na nini naweza kukiacha nikafanya nikiwa na nafasi kimfuko.
Kati ya tiles, Aluminium windows na gypsum board.. naombeni ushauri wenu.
Kati ya tiles, Aluminium windows na gypsum board.. naombeni ushauri wenu.