big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Wasalaam wakuu,,,
UTANGULIZI (kama mvivu sio lazima maelezo aya)
Mimi ni kibarua ktk secta flan ya kawaida sana,sasa nina likizo ya mwezi na nusu,nina ka akiba kangu kama 1m ambaya mwanzo lipanga ninunue madirisha na milango nikapachike kwenye kibanda changu mbagala chamanzi,lakin hyo pesa haitoshi,ambapo fundi wangu kanambia nitapata mlango wa get mkubwa 1wa mbele na 1 wa nyumba kwa 350k na itayobak madirisha 6
Back to the topic
Sasa naweza fanya biashara gan ambayo pesa naweza nikaichomoa yote baada ya mwez 1? Yan mfano nikachukua bidhaa fulan sehem fulani nikapeleka sehem nyingne nikalipwa pesa cash au nikachukuwa bidhaa flan kariakoo ambayo inatoka fasta nikafanya hata umachinga atleast baada ya mwezi nikapata kiasi flan ambacho maybe nitaweza kuongeza milango miwil mi3
Natanguliza shukuran asante...
UTANGULIZI (kama mvivu sio lazima maelezo aya)
Mimi ni kibarua ktk secta flan ya kawaida sana,sasa nina likizo ya mwezi na nusu,nina ka akiba kangu kama 1m ambaya mwanzo lipanga ninunue madirisha na milango nikapachike kwenye kibanda changu mbagala chamanzi,lakin hyo pesa haitoshi,ambapo fundi wangu kanambia nitapata mlango wa get mkubwa 1wa mbele na 1 wa nyumba kwa 350k na itayobak madirisha 6
Back to the topic
Sasa naweza fanya biashara gan ambayo pesa naweza nikaichomoa yote baada ya mwez 1? Yan mfano nikachukua bidhaa fulan sehem fulani nikapeleka sehem nyingne nikalipwa pesa cash au nikachukuwa bidhaa flan kariakoo ambayo inatoka fasta nikafanya hata umachinga atleast baada ya mwezi nikapata kiasi flan ambacho maybe nitaweza kuongeza milango miwil mi3
Natanguliza shukuran asante...