Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Kuna mambo ya msingi umeulizwa hukuyajibu.Asante
Asante kwa ushauri
Mfano, uko mkoa gani au wilaya gani? Ungependa biashara yako ufanye mkoa gani?
Huyo anaekushauri ujenzi wa vyumba 20 hamna kitu hapo. Mafundi wengi wapuuzi huwa wako vile wanarahisisha mambo ili wapate kazi mwisho wa siku utaishia vyumba 10 tuu tena bila kukamilika.
Biashara ya zipo nyingi lkn eleza unataka kufanya wapi?