Nifanyaje Kuhakikisha Mzigo wangu hauibiwi Posta?

Uswe

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,204
626
Nimetumiwa kitu kutumia USPS, lakini nimewahi kutumiwa vitu huko nyuma na havikufika.


Nimetumia tracking system ya USPS inaonyesha mzigo wangu uko in transit. Nimejaribu kupiga simu ya posta (ile liyoko katika website yao) 2112816 na 2118182 ili wanipe ushauri nini cha kufanya lakini hawapatikani, ya kwanza inaitwa bila majibu (kwa siku tatu sasa) na ya pili inasema kwa kizungu ‘the number are calling have been restricted to receive this calls''


Wadau kwenye mwenye ushauri wa nini nifanye kuhakikisha mzigo wangu hauchakachuliwi pale posta? Au kuna mwenye namba ya customer care au mtu yeyote wa posta anaeweza kunisaidia kuhakikisha mzigo wangu hauchakachuliwi.


Asante.
 
0755374029
mpigie huyo bibi ndio kazi yake hapo posta customer care chumba namba saba, ukipiga mwambie naomba uniangalizie mzigo wangu, kama yupo kazini atakuangalizia. sometimes mzigo waweza fika ila wasiupdate kwenye website. pia kama ni usps priority mail or express mail ndio utaweza track, otherwise kama ni standard service huwezi track.
 
0755374029
mpigie huyo bibi ndio kazi yake hapo posta customer care chumba namba saba, ukipiga mwambie naomba uniangalizie mzigo wangu, kama yupo kazini atakuangalizia. sometimes mzigo waweza fika ila wasiupdate kwenye website. pia kama ni usps priority mail or express mail ndio utaweza track, otherwise kama ni standard service huwezi track.

Asante sana mkuu, ni priority mail, wamenipa label number nafikiri inaweza kutumika ku-track hiyo parcel
 
Nakushauri uwe unasafiri nao..mtu akitaka kukupora unapiga kerele za kamata mwizi meeen.!
 
Nakushauri uwe unasafiri nao..mtu akitaka kukupora unapiga kerele za kamata mwizi meeen.!

MCHEMSHO.JPG
haya chief, nashukuru
 
0755374029
mpigie huyo bibi ndio kazi yake hapo posta customer care chumba namba saba, ukipiga mwambie naomba uniangalizie mzigo wangu, kama yupo kazini atakuangalizia. sometimes mzigo waweza fika ila wasiupdate kwenye website. pia kama ni usps priority mail or express mail ndio utaweza track, otherwise kama ni standard service huwezi track.
safi sana,maelezo yanajitosheleza na uko seriaz na naamini umemsadia sana mwana jf huyu!kip it up
 
0755374029
mpigie huyo bibi ndio kazi yake hapo posta customer care chumba namba saba, ukipiga mwambie naomba uniangalizie mzigo wangu, kama yupo kazini atakuangalizia. sometimes mzigo waweza fika ila wasiupdate kwenye website. pia kama ni usps priority mail or express mail ndio utaweza track, otherwise kama ni standard service huwezi track.

Asante sana touchlife, sijapata mzigo bado lakini namba imenisaidia sana, nimepata msaada mkubwa kutoka kwa huyo mpendwa, ingawa nilipata kigugumizi aliponiuliza namba yake nimeipata wapi, pamoja na hayo she is good na amenisaidia sana, once again asante touchlife asante JF
 
safi sana,maelezo yanajitosheleza na uko seriaz na naamini umemsadia sana mwana jf huyu!kip it up
umetisha fabinyo, umegundua kuna vijitu haviko serious humu, na ndio wanaifanya JF (wakati mwingine) ionekane kama something for average thinkers
 
safi sana,maelezo yanajitosheleza na uko seriaz na naamini umemsadia sana mwana jf huyu!kip it up
<br>umetisha fabinyo, umegundua kuna vijitu haviko serious humu, na ndio wanaifanya JF (wakati mwingine) ionekane kama something for average thinkers
 
Back
Top Bottom