Miss Cherry
Member
- Oct 2, 2020
- 36
- 249
Kwanza kijana hujakomaa kabisa kimahusiano,
Ili mwanaume ufurahie ndoa,
yapasa umpate mwanamke anayekupenda na-kukufeel kupita unavompenda wewe.
Sasa wewe unapendwa sana,
Mwanamke anainvest kwako (badala ya kukupiga wewe mizinga)
afu unaleta upuuz wa kitoto unaanza kuendeshwa na hisia.
Nikwambie kitu mkuu,
Linapofika Suala la kuoa mwanaume lazima uwe smart,
Ni lazima Umchague mwanamke smart,mtiifu atakayekufaa ukiwa huna hata Mia, atakayekufaa utakapokua umeumwa unajinyea apo kitandan.
Mwanamke atakayeyavumilia na kukuficha madhaifu yako.
Wee umepata mwanamke unaleta mbembwe,
NGOJA UJE UPATE SLAY QUEEN uje utie Akili sawasawa
Wewe ni mwanaume na nusu