Jamani mi ni msichana lakini sauti yangu ni nzito saana kiasa kwamba hata nikiongea na simu mtu anaweza akafikiri kapokea mkaka naombeni mnisaidie nifanyaje niweze kulainisha sauti yangu.
Hilo Tatizo Lina muda gani? Tangu usichana wako au limekuja ukubwani? Sababu zipo nyingi Unaweza kuwa na matatizo ya homoni au kwa kidhungu wanasema hormonal dysfunction, kama Umepata tatizo hilo ukiwa na umri zaidi ya miaka 30+ inaweza kuwa menopause imeanza! Au hypothyroidism kwa uchunguzi zaidi nenda hospital, happy Valentine's Day.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.