nifanyaje hii simu?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
ni simu aina ya T-Mobile my touch 3g android version 2.2.3 tatizo lake kwa sasa Mara kwa mara inastack na ilipofikia sasa ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara Je inatokana na nini na suluhisho ni nini msaada tafadhari?
 
Fanya factory reset. tumia general procedures za ku-reset android. switch off, Hold vol- and switch on then follow instructions.

ni simu aina ya T-Mobile my touch 3g android version 2.2.3 tatizo lake kwa sasa Mara kwa mara inastack na ilipofikia sasa ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara Je inatokana na nini na suluhisho ni nini msaada tafadhari?
 
akhsante ila naomba kujua vitu gani vitapotea baada ya hyo factory reset?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom