Nijuavyo, Rais, wakuu wa mikoa na Wilaya wanayo madaraka kisheria kumuweka mtu mahabusu. Lakini, inakuwaje waziri anatoa amri kwa polisi kumkamata raia yeyote, popote?
Nauliza baada ya kusikiliza waziri Mwakyembe akitoa amri ya kukamatwa kwa 'Dudu baya' kwa sababu ya kutaja maovu ya Ruge (RIP). Nilidhani Polisi wenyewe ndo wana uwezo wa kuchukuwa hatua kama hizo kulingana na taaluma yao ya usalama, lakini hapa ni waziri tu! Kwa akili yake.
Naomba kuelimishwa maana hii siyo mara ya kwanza. Kokote ktk ziara za mawaziri, wanatoa amri za aina hii.
Nauliza baada ya kusikiliza waziri Mwakyembe akitoa amri ya kukamatwa kwa 'Dudu baya' kwa sababu ya kutaja maovu ya Ruge (RIP). Nilidhani Polisi wenyewe ndo wana uwezo wa kuchukuwa hatua kama hizo kulingana na taaluma yao ya usalama, lakini hapa ni waziri tu! Kwa akili yake.
Naomba kuelimishwa maana hii siyo mara ya kwanza. Kokote ktk ziara za mawaziri, wanatoa amri za aina hii.