Mkuu, HDMI huwezi ukaconnect kwenye PC kupitia king'amuzi ikaonesha?Pia kuna tv box.
Sio android tv box lakin. Kuna kifa kinaingiza RCA cable kinatoa VGA cable. Kinapatikana around tsh 30000
inawezekana.Mkuu, HDMI huwezi ukaconnect kwenye PC kupitia king'amuzi ikaonesha?
niko moshi uko wap kwa sasa? angalia inbox yakoupo wapi nikuuzie hizo mambo
kuna cable na kuna converter (adapter),Wakuu wapi ntapata working converter ya VGA to HDMI cable kuna ambayo niliuziwa k/koo zimekuwa hazifanyi Nazi msaada please...cc chief-mkwawa
Niliyonunua ni converter kama hiyo inayonekana hapo but imeshindwa kufanya kazi niliwahi kununua cable ndo kabisa ikashindikana nikambiwa mpaka niwe na converter na hii converter nilirudisha dukani nikabadilishiwa still ikagoma kufanya kazikuna cable na kuna converter (adapter),
cable unakuwa ni waya tu upande HDMI na upande vga wakati converter inakuwa na kama kibox hivi kwenye end mojawapo au kwenye cable.
angalia hii picha.
naona hawa jamaa wanazo kwa 20,000. ni vyema ukaenda na kifaa cha kutestia
Peripherals – Epic Computers
kuna converter kubwa zaidi niliiona KVD mjini nafkiri mtaa wa makunganya ila bei yake nayo imetulia 120,000.Niliyonunua ni converter kama hiyo inayonekana hapo but imeshindwa kufanya kazi niliwahi kununua cable ndo kabisa ikashindikana nikambiwa mpaka niwe na converter na hii converter nilirudisha dukani nikabadilishiwa still ikagoma kufanya kazi
Nataka nitumie kwenye CPU kupeleka kwenye Tv ambayo INA port ya HDMI tuukuna converter kubwa zaidi niliiona KVD mjini nafkiri mtaa wa makunganya ila bei yake nayo imetulia 120,000.
unatumia kwenye kifaa gani?
Nunua hardware inaitwa graphic cards, au vga cards. Most of them huwa zina port ya vga,hdmi na dvi. Unchagua tu utumie ports ipi.Nataka nitumie kwenye CPU kupeleka kwenye Tv ambayo INA port ya HDMI tuu
Okay thanks ila najaribu kuangalia njia ambayo itakuwa less expensive en efficiently....Nunua hardware inaitwa graphic cards, au vga cards. Most of them huwa zina port ya vga,hdmi na dvi. Unchagua tu utumie ports ipi.
Unaichomeka ndani ya cpu yako basi.
au alternative tafuta gpu yenye hdmi hata low end, unaweza zipata bei rahisi maduka ya desktop used kama machinga.Nataka nitumie kwenye CPU kupeleka kwenye Tv ambayo INA port ya HDMI tuu
Ulikipata kwabei gani?wiki yote nilikuwa nakitafuta