Nifahamishe kuhusu kozi ya Biomedical enginering. Je, viwango gani vya ufaulu vinahitajika?

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,019
3,882
Habari wadau;
Kuna ndugu anahitaji ushauri,

Huyu bwana amemaliza kidato cha sita 10 years,PCB ila hakubahatika kuendelea na elimu formally ingawa informally amesoma vitu vingine has kenye field za Business Administration and IT.In short yeye ana elimu ya kidato cha sita tu.Sasa anataka kwenda kusoma kozi ya Biomedical engineering,na kwa mujibu wake anataka kubadili fani kabisa kutoka business na IT hadi kwenda kwenye medicine ingawa hataki kusoma medicine pure.

Kwa yeye anafikiria kusoma kozi ya Biomedical Engineering
Je ni vyuo gani hasa vinatoa kozi hii hapa Tanzania,Gharama za Ada kwa kozi hizo ni kiasi gani.Na kwa wale ambao wamesoma kozi hizo au wanasoma kozi hizo kwa sasa wanaonaje kuhusu career prospects hasa kwa mtu ambaye anafikiria zaidi kujiajiri?

Je anaweza kufanya shughuli ambazo zitampatia kipato nakuwezakutengeneza ajira kwa wengine iwapo akisomea hii kozi?

Naomba kuwasilisha.
 
Ni kozi nzuri kwa maana haina wataalamu wengi na soko la utengenezaji na utumiaji wa vifaa vya tiba ndio kwanza linaanza.

Nashangaa kwa nini mlimani au DIT hawaipendi hii kozi.

Hebu mwambie Ajaribu kucheck na ATC nadhani kwa level ya Diploma
 
Ni kozi nzuri kwa maana haina wataalamu wengi na soko la utengenezaji na utumiaji wa vifaa vya tiba ndio kwanza linaanza.

Nashangaa kwa nini mlimani au DIT hawaipendi hii kozi.

Hebu mwambie Ajaribu kucheck na ATC nadhani kwa level ya Diploma
Gharama zake zikoje?
 
Asome tu awe nayo hiyo degree kwa future labda itakuwa na soko lakini kwasasa haina.
kwa ushauri asome tu medicine hii anaweza kufanya kitu binafsi na kwa wengine maana sisi tunaugua kila siku lakini biomedical engineering utatengeneza nini, microscopes au x-ray machines?! Zinaharibika mara ngapi?!
Pia biomedical engineer labda uajiriwe na kampuni kama SIEMEN, SYSMEX, ABBOT, Bayer, Philips na wengine kama hao. Lakini hao operations zao ni chache hapa kwetu labda uende huko ulaya au amerika.
Medicine inaweza isikulipe utakavyo lakini kazi yake inakupa self gratification unapomtibu mtu akapona na pia atakushukuru.
Najua kwasasa vyuo vya medicine vimekuwa vingi na madaktari wamekuwa wengi unaweza kuona thamani ya madaktari inapungua ukichangia na clinical officers lakini status ya course na udaktari bado iko vizuri, nakushauri fanya medicine hutojuta, lakini biomedical engineering ni nzuri Ile soko halipo Tanzania.
 
Back
Top Bottom