elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Ni maneno ya Friedrich Nietzsche, Mwana falsafa wa Kijerumani ambaye alizaliwa Mwaka 1844 na kufariki mwaka 1900.
Aliawahi kuwa mkuu wa Chuo kikuu cha Basel ujerumani kabla hata hajahitimu masomo yake ya Phd, jina lake lilipendekezwa na Mwalimu wake.
Kauli nyingine za Nietzsche ( tamka Niiche) ni:
1. Mungu amekufa na Sisi ndio tuliomuua ( God is dead and we have Kiled Him)
2. Nawachukia watu, Nimewachoka watu puuu!! (I Hate my fellow man, we are tired of man )
3. I hate the New Testament of the Bible!!( Nalichukia agano jipya.
4 Katika agano jipya lote mtu anaestahili kuheshimiwa ni Pontiko Pilato, Gavana wa Kirumi!!
Nietzsche ameandika vitabu vingi ikiwemo The Antichrist; Human, all too human ; Beyond good and evil nk
Hakuoa na aliamini watoto ni mzigo na Mapenzi ni kamba zinazomnyima Mtu uhuru wake.
Nietzsche aliwahi kusema Watu wote wanaotaka uhuru wa Nafsi hawapashwi kuoa maana ni kujitwika majukumu yasiyo ya lazima. Wanafalsafa wengine ambao hawakuahi kuoa ni Plato, Aristotle, Zeno wa citium aliyeanzisha ustoa ama Stoicism,Galileo, Isaac Newton, Buddha pamoja na Pythagoras.
Buddha alimwacha mke wake na watoto ili kuisaka Enlightenment (Nirvana) Buddha alisema baada ya kuwa mtoto wake kuzaliwa “ Huu ni mnyororo, mnyororo wa kunifunga umezaliwa nyumbani kwangu “
Alisomea elimu ya dini pamoja na philologia kabla ya kuhamia na kujikita katika historia ya falsafa. Nietzsche, Aliuponda sana ukiristo akiamini unatoa Watu dhaifu wa kulia lia tu. Alisema analipenda agano la Kale kwa sababu Lina wanaume wa Ukweli Siyo agano jipya liliojaa watu ombaomba na wasio na akili. Huyo ndo Nietzsche bana
Aliawahi kuwa mkuu wa Chuo kikuu cha Basel ujerumani kabla hata hajahitimu masomo yake ya Phd, jina lake lilipendekezwa na Mwalimu wake.
Kauli nyingine za Nietzsche ( tamka Niiche) ni:
1. Mungu amekufa na Sisi ndio tuliomuua ( God is dead and we have Kiled Him)
2. Nawachukia watu, Nimewachoka watu puuu!! (I Hate my fellow man, we are tired of man )
3. I hate the New Testament of the Bible!!( Nalichukia agano jipya.
4 Katika agano jipya lote mtu anaestahili kuheshimiwa ni Pontiko Pilato, Gavana wa Kirumi!!
Nietzsche ameandika vitabu vingi ikiwemo The Antichrist; Human, all too human ; Beyond good and evil nk
Hakuoa na aliamini watoto ni mzigo na Mapenzi ni kamba zinazomnyima Mtu uhuru wake.
Nietzsche aliwahi kusema Watu wote wanaotaka uhuru wa Nafsi hawapashwi kuoa maana ni kujitwika majukumu yasiyo ya lazima. Wanafalsafa wengine ambao hawakuahi kuoa ni Plato, Aristotle, Zeno wa citium aliyeanzisha ustoa ama Stoicism,Galileo, Isaac Newton, Buddha pamoja na Pythagoras.
Buddha alimwacha mke wake na watoto ili kuisaka Enlightenment (Nirvana) Buddha alisema baada ya kuwa mtoto wake kuzaliwa “ Huu ni mnyororo, mnyororo wa kunifunga umezaliwa nyumbani kwangu “
Alisomea elimu ya dini pamoja na philologia kabla ya kuhamia na kujikita katika historia ya falsafa. Nietzsche, Aliuponda sana ukiristo akiamini unatoa Watu dhaifu wa kulia lia tu. Alisema analipenda agano la Kale kwa sababu Lina wanaume wa Ukweli Siyo agano jipya liliojaa watu ombaomba na wasio na akili. Huyo ndo Nietzsche bana