green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,303
- 35,850
Wakuu kuna kitu kinanitatiza maana naishi kwa kujistukia sana hasa sehemu za public kama vyooni na kosa uhuru navizia ndio nautoa mkono wa sweta natoa haja afu naurudisha chap.
Hata nikipata demu inabidi nivizie asilione au ni mnyime asile koni maana govi hua linatoa vitu kama ugali wa dona pia ili asiende kunitangaza.
Ingawa wengine hasa mademu wa Kihaya na Wanyamwezi wanapenda magovi, ila mi napenda kubaki nalo tatizo jamii inashangaa kusikia mtu ana mkono wa sweta.
Hata nikipata demu inabidi nivizie asilione au ni mnyime asile koni maana govi hua linatoa vitu kama ugali wa dona pia ili asiende kunitangaza.
Ingawa wengine hasa mademu wa Kihaya na Wanyamwezi wanapenda magovi, ila mi napenda kubaki nalo tatizo jamii inashangaa kusikia mtu ana mkono wa sweta.