Nielimisheni tafadhali

jobseeker

Member
Feb 25, 2012
70
7
wana JF,

Huko nyuma niliwahi kuleta suali linalofanana na hili ninaloliuliza hapa ila hili ni kwa pembe nyengine.
Naomba kuelimishwa ni vipi raia wa nchi nyengine anaomba kibali cha kufanya kazi tanzania? jee kuna
masharti yeyote ambayo anahitaji kuyatimiza au rangi ya ngozi yake, briefcase na suti tu?

I am serious, nataka kujua hasa maana hili linanisumbua mno!!!!
 
kufahamu hilo lazima ujipange vizuri, lakini taratibu za kisheria zipo kuhusu ajira. pia, inategemea aina ya kazi na mkataba ulivyowekwa kama ni kazi za mkataba.
 
hilo ni la kujua kwa wataalamu wa vibali. lisikusumbue hata kidogo.

Hapana ndugu jibu lako ni WRONG kabisa. Yaani umeshindwa kumfahamu muulizaji, Kinachomsumbua mchangiaji ni kuwa watanzania tele wenye kisomo wako mitaani hawana kazi, lakini wazungu wanashuka kila siku na kupata nafasi kirahisi, kazi ambazo vijana wa kitanzania wanaweza kabisa kuzifanya.

Pia mentality yako hiyo ya kuwa kila jambo lisikusumbue au lisitusumbue kwa kuwa tu kuna wataalamu au watu fulani wa majukumu hayo ndio yanayoturudisha nyuma Tanzania na kuwapa nafasi mafisadi kufanya watakayo, kwa maana hakuna wa kuwauliza.
 
wana JF,

Huko nyuma niliwahi kuleta suali linalofanana na hili ninaloliuliza hapa ila hili ni kwa pembe nyengine.
Naomba kuelimishwa ni vipi raia wa nchi nyengine anaomba kibali cha kufanya kazi tanzania? jee kuna
masharti yeyote ambayo anahitaji kuyatimiza au rangi ya ngozi yake, briefcase na suti tu?

I am serious, nataka kujua hasa maana hili linanisumbua mno!!!!
hapo kwenye bold mkuu......... sio suali ni swali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom