wana JF,
Huko nyuma niliwahi kuleta suali linalofanana na hili ninaloliuliza hapa ila hili ni kwa pembe nyengine.
Naomba kuelimishwa ni vipi raia wa nchi nyengine anaomba kibali cha kufanya kazi tanzania? jee kuna
masharti yeyote ambayo anahitaji kuyatimiza au rangi ya ngozi yake, briefcase na suti tu?
I am serious, nataka kujua hasa maana hili linanisumbua mno!!!!
Huko nyuma niliwahi kuleta suali linalofanana na hili ninaloliuliza hapa ila hili ni kwa pembe nyengine.
Naomba kuelimishwa ni vipi raia wa nchi nyengine anaomba kibali cha kufanya kazi tanzania? jee kuna
masharti yeyote ambayo anahitaji kuyatimiza au rangi ya ngozi yake, briefcase na suti tu?
I am serious, nataka kujua hasa maana hili linanisumbua mno!!!!