Nielewesheni kuhusu kushika mimba baada ya siku ya 14 yaani kuanzia siku ya 15,16..

Jiraniyetu

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
350
333
Madaktari na wataalamu wa afya karibuni kwenye uzi huu,
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..
 
tapatalk_1491050896104.jpeg
print hii ubandeke chumbani
 
Madaktari na wataalamu wa afya karibuni kwenye uzi huu,
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..
Hizo zote ni siku za kupata mimba
 
Back
Top Bottom