Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Madaktari na wataalamu wa afya karibuni kwenye uzi huu,
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..