zefounda
Member
- Nov 26, 2012
- 97
- 19
Nilianza kusikia muda mrefu kuhusu kuingia kwenye huu mfumo wa digitally.ninachoomba nieleweshwe ni kwamba,hivi sasa ninatumia dish ambalo linaniwezesha kuona local chanels na baadhi ya chanels za nigeria,swali je siraweza kulitumia tena dish na receiver hii baada ya kugeuka kwa huo mfumo? Lakini pia mbona hii receiver imeandikwa satelite digital receiver?