nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Salaam wanajamvi, ni matumaini yangu mko wazima wa afya mkiendelea na mihagaiko ya kila siku kwa ajili ya kujipatia mkate.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu wa CRYPTOCURRENCY TANZANIA aweze kutumegea kidogo kuhusu ufanyaji wao wa kazi nimefuatilia kwenye mtandao wao ila sijaweza kupata taarifa ya kutosha.
Tafadhali mwenye uelewe kidogo na hiki kitu naomba tugawane maarifa.
Asanteni.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu wa CRYPTOCURRENCY TANZANIA aweze kutumegea kidogo kuhusu ufanyaji wao wa kazi nimefuatilia kwenye mtandao wao ila sijaweza kupata taarifa ya kutosha.
Tafadhali mwenye uelewe kidogo na hiki kitu naomba tugawane maarifa.
Asanteni.