donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,042
- 21,517
Tano mbona utakua unawarushia taulo mkuu? Watu wenye mapuuza hawastaili tano kabisa. Unatoa doso halafu hata mmoja akijifanya amedoji huyo sasa ndio atakibeba kibangala chote.Haya nikuyapa doso tu na tano fupi..
Jambo...