Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 588
- 911
Chanzo cha changamoto za namba za vitambulisho vya NIDA ni hawa wapuuzi kweli!
Sizitaki salamu zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi simu card zinazimwa tarehe 31? au lini hawa jamaa wapo slow kweli bibi zetu vijijini wemeshapata namba kweli? nina wasiwasi bado
Wakuu hata mngepewa deadline mpaka 2030, siku za mwisho lazima mngekuja kulalamika tuMe ni zaidi,
Vipi kuhusu ile mifoleni ya wananchi kwenye ofisi zenu ?