Kichwa cha habari kinaeleza
Hawa Nida ofisi za kasulu nadhani hawana uchungu na wananchi wao.
Asilimia 90. Ya wakazi wa Kasulu hawana namba za utambulisho wa taifa halafu ofisini wao wapo tu hawana majibu yanayoeleweka
Nadhani kuna tatizo kubwa sana kule maana sio kawaida hiyo hali.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawa Nida ofisi za kasulu nadhani hawana uchungu na wananchi wao.
Asilimia 90. Ya wakazi wa Kasulu hawana namba za utambulisho wa taifa halafu ofisini wao wapo tu hawana majibu yanayoeleweka
Nadhani kuna tatizo kubwa sana kule maana sio kawaida hiyo hali.
Sent from my iPhone using JamiiForums