Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,443
- 2,567
Aahahahah haki leo nakaribia kuitwa chizi wa kucheka.
Haki leo naona kwangu ni CHEKA DAY. Yaaani kila kona nakutana na vituko tu
Aiseeh!!
"Ety kubadili jinsia ni rahisi zaidi ya id...." Kweli acha bangi ziwe illegal tu, maana hivi mnavuta kwa vificho na mnaweuka hivi!! Zikianzishwa bar za bangi...si mtavaa chupi kichwani ahahahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki leo naona kwangu ni CHEKA DAY. Yaaani kila kona nakutana na vituko tu
Aiseeh!!
"Ety kubadili jinsia ni rahisi zaidi ya id...." Kweli acha bangi ziwe illegal tu, maana hivi mnavuta kwa vificho na mnaweuka hivi!! Zikianzishwa bar za bangi...si mtavaa chupi kichwani ahahahah.
Kubadilisha kitambulisho itachukua muda mrefu ni bora uwaambie wakubadilishe na jinsia, ni rahisi zaidi kubadilisha jinsia kuliko kupata kitambulisho kipya
Sent using Jamii Forums mobile app