RALPH TRESVANT
Member
- Dec 17, 2019
- 17
- 5
Watalii wallopo ndani ya nchi ambao walichukua line za simu nao hali mbaya.
Mfumo wa Immigration hausomeki kule NIDA na makampuni ya simu nao wanasema hawaoni kitu. Sisi ambao tuko kwenye sekta ya utalii tunashindwa kuelewa tatizo liko wapi.
Watalii walipo ndani ya nchi wakienda kusajili line wanaambiwa alama za vidole vyao hazionekani kwa sababu Immigratiion hawajapeleka taarifa zao NIDA hivyo kampuni za simu hazitambui.
Hapa mtaliii anaacha kwenda kutazama wanyama tuko busy kuumiza vichwa na NIDA.
Hivi hiii software ina matatizo gani? Kampuni gani ilipewa tenda? Nani ananufaika na huuu mtafaruku?
Mfumo wa Immigration hausomeki kule NIDA na makampuni ya simu nao wanasema hawaoni kitu. Sisi ambao tuko kwenye sekta ya utalii tunashindwa kuelewa tatizo liko wapi.
Watalii walipo ndani ya nchi wakienda kusajili line wanaambiwa alama za vidole vyao hazionekani kwa sababu Immigratiion hawajapeleka taarifa zao NIDA hivyo kampuni za simu hazitambui.
Hapa mtaliii anaacha kwenda kutazama wanyama tuko busy kuumiza vichwa na NIDA.
Hivi hiii software ina matatizo gani? Kampuni gani ilipewa tenda? Nani ananufaika na huuu mtafaruku?