Nawapongeza NIDA wanavyopambana kuhakikisha kila Mtanzania anafanikiwa kusajili line yake. Kama mnavyojua mzunguko wa pesa sasa upo kwenye simu kitu kinchopelekea serikali na taifa kwa ujumla kupata kodi kutoka makampuni ya simu.
Wananchi watakaofungiwa line zao itasababisha serikali kukosa kodi kwa kiasi fulani. Watanzania msilale pambana upate National ID, muhimu sana kwa tunakoelekea kila kitu kitakuwa merged na National ID.
Wananchi watakaofungiwa line zao itasababisha serikali kukosa kodi kwa kiasi fulani. Watanzania msilale pambana upate National ID, muhimu sana kwa tunakoelekea kila kitu kitakuwa merged na National ID.