NIDA hamtendi haki, zaidi ya mwaka tuliochakata vitambulisho vya taifa hatujapata namba

B.4really

Senior Member
Jan 30, 2013
199
89
Ni mwaka sasa unaisha sina kitambulisho wala Namba ya Kitambulisho cha taifa suala linalo nikwamisha hata kupata kibarua cha kufanya,kazi ni kupigwa dana dana kila nnapofika ofisi za NIDA..Ni vizuri mkajitathimini!!
 
Mimi nimejiandikisha 2019 namba nimepata kitambulisho nimefuatilia mpaka nimechoka nilienda juzi nikaambiwa mpaka July aisee nimepitwa na fursa nzuri Sana kisa hicho kitambulisho
 
Ni mwaka sasa unaisha sina kitambulisho wala Namba ya Kitambulisho cha taifa suala linalo nikwamisha hata kupata kibarua cha kufanya,kazi ni kupigwa dana dana kila nnapofika ofisi za NIDA..Ni vizuri mkajitathimini!!
Kuna jamaa angu last week tu hapa aliambiwa mpaka alitoe kakitu TZS 30,000/= ndo ataipata, kweli kwa kua alikua na shida nayo alitoa akaipata ndani ya siku 3 tu! Daah

Mwingine naye alipigwa 50k akaipata ndani ya siku 5 tu toka afanikishe process zote za kujaza form na ku submit..

Kumbe hawa WAPUUZI wanaweza kufanya mambo haraka haraka tu na kuisha ila mamlaka zinawaangalia tu sijui ndo zinashirikiana nao kwenye madili haramu!
 
Mimi nimejiandikisha 2019 namba nimepata kitambulisho nimefuatilia mpaka nimechoka nilienda juzi nikaambiwa mpaka July aisee nimepitwa na fursa nzuri Sana kisa hicho kitambulisho
Mimi nmeandikisha toka 2017 huko nikiwa Mbeya lakini mpaka mwaka huu mwanzoni nikiwa Mbeya nmefatilia kitambulisho napigwa kalenda, nikaamua kuhama tu! Wakae nacho basi wataombea mikopo benki, Pumbafu zao!
 
Mimi nimejiandikisha 2019 namba nimepata kitambulisho nimefuatilia mpaka nimechoka nilienda juzi nikaambiwa mpaka July aisee nimepitwa na fursa nzuri Sana kisa hicho kitambulisho
Bora yako ww hata namba unayo mkuu!!
 
Kuna jamaa angu last week tu hapa aliambiwa mpaka alitoe kakitu TZS 30,000/= ndo ataipata, kweli kwa kua alikua na shida nayo alitoa akaipata ndani ya siku 3 tu! Daah

Mwingine naye alipigwa 50k akaipata ndani ya siku 5 tu toka afanikishe process zote za kujaza form na ku submit..

Kumbe hawa WAPUUZI wanaweza kufanya mambo haraka haraka tu na kuisha ila mamlaka zinawaangalia tu sijui ndo zinashirikiana nao kwenye madili haramu!
Dah basi kumbe shida iko kwa watendaji mm nmefuatilia ila sioni hata dalili mkuu
 
Mie nilijiandikishia Ruvuma toka 2018 nimeambulia namba.Mpaka leo sijui ntakipata lin kitambulisho....
 
Back
Top Bottom