britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Masikitiko: Kwasababu taratibu za kubaini kaya zilizoathirika na tetemeko zilikabidhiwa mikononi mwa wenyeviti na watendaj wa mitaa, vijiji na kata, tulitegemea wangezifikia kaya zote kwasababu ndiyo wapo karibu nao, cha ajabu watu wengi hawajafikiwa hasa Bukoba vjjn, najiuliza swali mwakilishi wa wananchi anayetakiwa kushugulikia hilo haoni, na misaada inayoendelea kuhamasishwa kuchagwa ni ya kina nani, na mwenyekiti, mtendaji, diwani na mbunge mtarudije kwa watu hao km mmeshindwa kuwajali wakati huu????
Alisema Nicolous Ngaiza mkazi wa Bukoba
Anayoyasema yana ukweli
Pia kuna ambao nyumba zimepata nyufa na nyingine mtikisiko zitaanguka baada ya mwezi mmoja, hawa watathaminiwa vipi?
Alisema Nicolous Ngaiza mkazi wa Bukoba
Anayoyasema yana ukweli
Pia kuna ambao nyumba zimepata nyufa na nyingine mtikisiko zitaanguka baada ya mwezi mmoja, hawa watathaminiwa vipi?