kutokana na makampuni ya kuagiza mafuta kusita na kuendelea kutunishiana misuli na serikali , nadhani itakuwa ni busara kwa serikali kuikopesha NICOL shilingi bil 23 ambayo ni sawa na hisa za kampuni hii ndani ya banki ya NMB (6%) , jambo ili litawawezesha wananchi kuingia na kushika biashara ya mafuta na serikali kuwa salama.
kutokana na kampuni hii kuingia kwenye soka la biashara ya mafuta itawezesha kuboresha usalama wa nchi kwani mafuta ni bidhaa muhimu na wageni wameanza kuitumia kama zana za kuiteketeza serikali yetu.
lazima serikali sasa ianze kufikiri mbali na kuanza kuyawezesha makampuni ya kizalendo kushika uchumi wa nchi na kuacha kutegemea wageni kwani kwa hali ya uchumi wa sasa wa dunia , makampuni makubwa yameanza kuziyumbisha na kuzipindua nchi mbali mbali kwa sera za uchumi na udhibiti wa bidhaa na kusababisha mfumuko mkubwa wa bei na kusababisha maandamano ya wananchi na kudondoshwa kwa serikali hizo
kutokana na kampuni hii kuingia kwenye soka la biashara ya mafuta itawezesha kuboresha usalama wa nchi kwani mafuta ni bidhaa muhimu na wageni wameanza kuitumia kama zana za kuiteketeza serikali yetu.
lazima serikali sasa ianze kufikiri mbali na kuanza kuyawezesha makampuni ya kizalendo kushika uchumi wa nchi na kuacha kutegemea wageni kwani kwa hali ya uchumi wa sasa wa dunia , makampuni makubwa yameanza kuziyumbisha na kuzipindua nchi mbali mbali kwa sera za uchumi na udhibiti wa bidhaa na kusababisha mfumuko mkubwa wa bei na kusababisha maandamano ya wananchi na kudondoshwa kwa serikali hizo