KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,598
- 4,197
Mwangaruka ghoko, Oli mhola!Tuanze sasa'Mwangaluka'
Mwangaruka ghoko, Oli mhola!Tuanze sasa'Mwangaluka'
Huyo CDF ni mhaya...Kasema kisukuma kwanza hoja ya kijinga kuwahi kutokea haijalishi kihaya, kigogo sijui kimakonde hayo mawazo kaleta msukuma ndio ujue upeo wao wa kuwaza wana ulimbukeni fulani hasa wakiwa na madaraka kwa mara ya kwanza walipata madaraka kama miaka 5 hapo Dar tu mtu akataka kujifanya Mungu mtu lakini wana CCM wamejifunza hawatarudia tena, wao wapige kura tu madaraka hakuna.
Kwani wewe baba yako au babu yako hawajawahi kunywa gongo??Mhe. Tabasamu nnayemfahamu Mimi hakusomeshwa kwa njia hiyo unayoielezea. Pengine huyo atakuwa ni Tabasamu mwingine.
Akiwemo yeye, kwani yeye katoka chama gani?Tabasamu anasasema wabunge wa hovyo ccm ina wabunge wa hovyo tu
Nimeandika kuhusiana na baadhi hoja zinazotolewa katika vikao. Badala ya kujadili mambo yanayowagusa wananchi, baadhi ya Wabunge hutumia muda huo kujadili mambo yasiyo na tija. Hilo la kunywa au kutokunywa gongo halihusiani na niliyoandika.Kwani wewe baba yako au babu yako hawajawahi kunywa gongo??
Nami nasema Tanzania tunapoteza mapato kwa kuzuia kinywaji cha gongo pamoja na ulimaji wa bangi.Nimeandika kuhusiana na baadhi hoja zinazotolewa katika vikao. Badala ya kujadili mambo yanayowagusa wananchi, baadhi ya Wabunge hutumia muda huo kujadili mambo yasiyo na tija. Hilo la kunywa au kutokunywa gongo halihusiani na niliyoandika.
Mi niseme tu kwamba baadhi ya Watanzania wameharibikiwa kwa matumizi yaliyokithiri ya gongo pamoja na uvutaji wa bangi. Vyote hivyo haviruhusuwi katika sheria zetu.Nami nasema Tanzania tunapoteza mapato kwa kuzuia kinywaji cha gongo pamoja na ulimaji wa bangi.
Lini?Ulivyosema.
Uli ntumbavu sanaKama ni Msukuma kweli wewe lazima utakuwa zuzu!! Ukubwa wenu ndio unasaidia nini kuleta ukabila!?
Hivi hajui Kwa huo utopolo tayari amelipwa!! Kwani bungeni ni sehemu ya kujifunza kuongeza utopoloHivi huoni muda aliotumia kuongea utopolo angetumia kuongea mambo ya maana? Shame!
Sidhani kama ni kweli.Unajua/hujui mwenyewe.
Naweza na ninajua. Upo hapo?Kudhani pia huwezi/hujui?
Ninaweza na ninajua. Upo?Sipo hapo. Huwezi na hujui.
Alikuwa akimaanisha nini 'kuwachenga'?Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga