Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Ikulu ya Marekani imesikitishwa na kitendo cha msanii Nick Minaj kukataa kuchanjwa kwa madai anataka kufanya utafiti zaidi baada ya rafiki yake kuchanjwa na kumsababishia ugumba kwa kupoteza korodani baada ya kuvimba na kukimbiwa na mchumba wake.
Nick Minaj akataa kuchanjwa chanjo Covid-19, asema “Mtu kawa mgumba” Nick Minaj akataa kuchanjwa chanjo Covid-19, asema “Mtu kawa mgumba” – Millard Ayo TV
Nick Minaj akataa kuchanjwa chanjo Covid-19, asema “Mtu kawa mgumba” Nick Minaj akataa kuchanjwa chanjo Covid-19, asema “Mtu kawa mgumba” – Millard Ayo TV