Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua Runx X.So apo ipi imekaa vizur
RunX iko kitozi sanaHabari za jioni wadau
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
Nakuongezea na Toyota AllexHabari za jioni wadau
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
Heb Jarib kuiongeza na Hii premio kwenye hyo list yakoHabari za jioni wadau
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
Uko sahihi,ni bora IST new model kuliko hiyo RunX...Kama ni IST new model binafsi napendekeza uchukue hiyo!! RunX hazina mwendelezo
Chukua Runx, IST ina nafasi ndogo ukilinganisha na IST hii ni kwa maana ya space ya ndani ya gari.Sio new model mkuu iyo bei yake imechangamkaa
Hataki kubeba abiria amesema amechoka na dala dala so mwenyewe inamtoshaTatizo la IST ndani nafasi ni ndogo sana...
Ngoja waje kukupa muongozo...
Kwani IST ikienda body inachoka vizuri? Ushaona IST iliochoka wwHizo Runx zikianza kuchoka zinachoka vibaya sana.