G8M8
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 432
- 389
Poleni na mihangaika ya hapa pale ndugu.
Nimeanza kilimo cha bustani hasa mchicha lakini nakutana na changamoto kubwa hivi sasa mchicha wangu upo hatua ya kuvuna una majuma matatu hadi sasa changamoto Kuna ugonjwa umetokea kwenye majani ya mchicha wangu karibia wote niloanza kuupanda.
Majani yametoka ukungu kama unga mkavu meupe chini ya majani kwa juu inaonekana kama mabaka ya njano hivi kwa mbali.. Ushauri nichukue hatua gani nifanye kitu gani maana pia kuna mchicha mwengine nilioanza kupanda now una siku kumi na 2 tu. Situmii dawa sijawahi tumia dawa zaidi ya mbolea na kumwagalia.
Ushauri wandugu maana umenipa stress sana.
Nimeanza kilimo cha bustani hasa mchicha lakini nakutana na changamoto kubwa hivi sasa mchicha wangu upo hatua ya kuvuna una majuma matatu hadi sasa changamoto Kuna ugonjwa umetokea kwenye majani ya mchicha wangu karibia wote niloanza kuupanda.
Majani yametoka ukungu kama unga mkavu meupe chini ya majani kwa juu inaonekana kama mabaka ya njano hivi kwa mbali.. Ushauri nichukue hatua gani nifanye kitu gani maana pia kuna mchicha mwengine nilioanza kupanda now una siku kumi na 2 tu. Situmii dawa sijawahi tumia dawa zaidi ya mbolea na kumwagalia.
Ushauri wandugu maana umenipa stress sana.