Nicheke au nilie?

Nashauri usimwambie mumeo km ulivyoshindwa siku ya tukio, pamoja na uelewa wa mumeo hili jambo ni zito,.....yaani bb kalala na huyu mtoto? Kwa nini hukunambia mapema? Umemchoka?
 
Hilo pia ninaliwaza sana, baba anaweza kunigeuzia kibao nikaona dunia chun. Kumuondoa binti naweza ila I have mtoto mdogo, 1 year na yeye ndo nikiwa job anamtunza mtoto, kumpata mwingine itachukua muda kidogo. Niko njiapanda jamani, ningeweza kumkanya mdogo wangu but hope mnajua mapenzi yalivyo, she can tell him na ikawa tatizo kubwa zaidi. I wish uyu baba aende tu kwake, loh!


Taa nyekundu imewaka.Anti mbona sababu zimekuwa nyingi kuliko maelezo usomeki hata kidgo
Kumbuka umelileta swala lako hapa kuna watu wenye (I A)wanaopenda kusoma au kuandika JF kama sehemu ya burudani baada ya kazi ..

Kwenye nyekundu kuna ulakini uwenda umpendi mkweo unamtafutia sababu na unaelekea nitaandika siku nyengine
 
Baada ya ndoa nyie sio wawili tena bali ni mwili mmoja. Mshirikishe mumeo hilo suala sababu akigundua baadae kuwa ulikuwa unajua atafikiri kuwa wewe na binti mlikuwa na lengo moja
 
Habari wana JF,

Ni mara yangu ya kwanza ktk jukwaa hili jamani, nipeni ushauri katika hili.

Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Baba mkwe wangu alikuja kwetu kwa ajili ya kutibiwa toka mwaka jana. Ni mtu mzima kwa kweli takribani miaka 70. Kiukweli keshapona kabisa, na mkewe yuko kijijini. Nina msichana wa kazi ambae ni ndugu yangu, ana miaka 16 (undugu wa mbali).Juzi asubuhi kabla sijaenda job niliingia rum kwa dada na kukuta AMELALA NA BABAMKWE wangu full naked! Kwa vile walikuwa wamelala fofofo (mida kama ya 11 asubuhi) hawakunisikia. Nilirudishia tu mlango na kuondoka. Hadi sasa sijamuuliza yule ndugu yangu na wala mume wangu sijamwambia. Naona aibu hata kuwashirikisha watu wanaomfahamu huyu baba. Ebu nisaidieni jamani, nikae kimya au nifanyeje? Baba haoneshi hata dalili ya kurudi kijijini ingawa keshapona.

Nipeni ushauri wenu waungwana.
Du.Amakweli mwana wa adamu anakaribia kurudi, ee Mungu tuhurumie. Tafuta wazee wenye busara uwashirikishe, na kama ikiwezekana wazungumze nae. Pia ongea na mumeo kwani jambo lako ni lake ukimficha atagundua siku mimba ikitokea. Salaaale, heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Ni ngumu sana yaani huyo msichana wa kazi ameshazoea kuilaza ndani so hata huyo babu akiondoka lazima atafute mbadala usijeshangaa akawa mumeo.
Pia ujue watakuwa wameanza siku nyingi sana ingekuwa kuna mimba ingeshatokezea so its better umjulishe mumeo taratiibu ili baba mkwe aende kiutaratibu na msichana naye asichukue muda mrefu bila kuondoka manake naye sio wa kumuamini sana.
Mumeo inabidi utafute muda muafaka wa kuongea naye manake ww ndio unayemjua kuliko sisi ila usimfiche kwa hili ni vizuri mkashea
Hongera sana kwa kuwa mwanamke mwenye kifua cha kuhifadhi mambo manake ungekurupuka ungeharibu kila kitu.
 
Duh,Huyo bint nE haogopi? Babu Huyo akija kumfia kitandani wanadoo siata wehukaa, shosti usifiche hayo maradhi mueleze mumeo haraka iwezekanavyo na Huyo binti umfNyie safari ya kijijini sababu panya Hana urafiki....
 
Kweli hiyo balaa, Baba mkwe, we mshirikishe Babaa watoto!

ktk kumshirikisha mumeo uangalie hali yenu ya kimahusiano kwanza kwani kama mpo kwenya mtafaruko kidogo hawezi kukubali kabisa na atadhani ni visa tu so kuwa mwangalifu sana
 
najaribu ku-imagine 'sounds' alizopiga babu kwa huyo binti mpaka akaingia laini... or probably babu alimlilia binti kwamba bila hiyo kitu angeweza kupoteza maisha, so binti akamuonea huruma teh teh teh..
 
miaka 70 na miaka 16

siamini kama kuna kilichotokea, labda kugusa gusa tu.
Ila baba arudi kwake.
 
anamaliza au anatema tu mate twa nyoka??
Kwa imaginations zake huyo mzee alikuwa zaidi ya p.o.r.n star, kumbe huruma tupu

Tena huyo binti, afunguliwe NGO ya kulea wazee, anauwezo wa kufanya miujiza kwa wazee na kuwaongezea siku za kuishi.

Hahaha kongosho 70 mbona bado anamaliza kabisa
 
Jitahidi ufanye unaloweza mumeo ajue mwenyewe, asisikie toka kwako, maana wababa wapo sensitive sana kwa ndugu zao.
Akijua tu atakuambia ndo mpange mipango kwa pamoja. hutaeleweka ukimwambia mumeo halafu huna ushahidi.
pole sana
 
Habari wana JF,

Ni mara yangu ya kwanza ktk jukwaa hili jamani, nipeni ushauri katika hili.

Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Baba mkwe wangu alikuja kwetu kwa ajili ya kutibiwa toka mwaka jana. Ni mtu mzima kwa kweli takribani miaka 70. Kiukweli keshapona kabisa, na mkewe yuko kijijini. Nina msichana wa kazi ambae ni ndugu yangu, ana miaka 16 (undugu wa mbali).Juzi asubuhi kabla sijaenda job niliingia rum kwa dada na kukuta AMELALA NA BABAMKWE wangu full naked! Kwa vile walikuwa wamelala fofofo (mida kama ya 11 asubuhi) hawakunisikia. Nilirudishia tu mlango na kuondoka. Hadi sasa sijamuuliza yule ndugu yangu na wala mume wangu sijamwambia. Naona aibu hata kuwashirikisha watu wanaomfahamu huyu baba. Ebu nisaidieni jamani, nikae kimya au nifanyeje? Baba haoneshi hata dalili ya kurudi kijijini ingawa keshapona.

Nipeni ushauri wenu waungwana.

mzee kanogewa na katoto kabichi hako miaka 16?!! saa sita kabisa hako...anywe watu wa zima wa siku hizi hovyo kabisa kaa chonjo maana muda si mrefu unaweza kumuona anaanza kukufukuzia hata wewe bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom