Nibobee ktk Masomo Gani ili niweze tengeneza BIOLOGICAL WEAPONS NA SUMU MBALI MBALI?

Soma degree ya maabara,kuna bacteria wanaitwa bacillus anthrax, wanaua ndan ya sekunde,refer kifo cha Mozambique president in tz
 
Unaweza ukasoma bachelor ya pharmacy na special major kwenye Toxicology ukawa Toxicologist, hapa utazisoma sumu zote za kemikali, biolojia n.k.
Pia naweza kukusaidia kukufundisha kutengeneza kama tukifikia muafaka wa maelewano kati yetu kutegemeana na malengo yako. Karibu
 
Unaweza ukasoma bachelor ya pharmacy na special major kwenye Toxicology ukawa Toxicologist, hapa utazisoma sumu zote za kemikali, biolojia n.k.
Pia naweza kukusaidia kukufundisha kutengeneza kama tukifikia muafaka wa maelewano kati yetu kutegemeana na malengo yako. Karibu
Mkuu anataka biological weapons not chemical weapons
 
usitafakari sana hayo masomo yapo ili yasomwe na watu na watu wenyewe ndio kama sisi au unadhani ni maalumu kwa ngozi nyeupe tu?

Sina mashaka juu ya haki yako ya kuyapata maarifa hayo, hofu Yangu ni kwenye NIA yako.

Nakutakia masomo mema lakini mkuu, huenda ni kweli maarifa hayo utayatumia kwa maslahi chanya ya taifa.
 
Sina mashaka juu ya haki yako ya kuyapata maarifa hayo, hofu Yangu ni kwenye NIA yako.

Nakutakia masomo mema lakini mkuu, huenda ni kweli maarifa hayo utayatumia kwa maslahi chanya ya taifa.
unapo sema maslah ya taifa kulindwa ni pamoja na kucheza faulo

kwa mfano nchi yetu ipo ktk ushindani wa kuchukua mradi fulani kwa asilimia kadhaa (kama ilivyo kuwa kwenye bomba la mafuta la uganda tulivyo chuana na kenya)

sasa yule mwenzangu ninaye fanya naye ushindani namchomekea kitu(biological weapon) kitakacho disturb mind yake na hivyo kujikuta ktk majadiliano namshinda na kutwaa hiyo project.


kwa taifa nitaonekana hero ila kwa upande wa pili nitaonekana adui kwahiyo unapo sema NIA ni neno pana wewe unaweza kui chukulia in a positive way wakati mwenzako akaona ni kitendo kibaya.

hapo pi mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom