Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu anataka biological weapons not chemical weaponsUnaweza ukasoma bachelor ya pharmacy na special major kwenye Toxicology ukawa Toxicologist, hapa utazisoma sumu zote za kemikali, biolojia n.k.
Pia naweza kukusaidia kukufundisha kutengeneza kama tukifikia muafaka wa maelewano kati yetu kutegemeana na malengo yako. Karibu
Sawa, ahsante.Mkuu anataka biological weapons not chemical weapons
usitafakari sana hayo masomo yapo ili yasomwe na watu na watu wenyewe ndio kama sisi au unadhani ni maalumu kwa ngozi nyeupe tu?
unapo sema maslah ya taifa kulindwa ni pamoja na kucheza fauloSina mashaka juu ya haki yako ya kuyapata maarifa hayo, hofu Yangu ni kwenye NIA yako.
Nakutakia masomo mema lakini mkuu, huenda ni kweli maarifa hayo utayatumia kwa maslahi chanya ya taifa.