James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,107
- 13,334
Gari moja naikubali sana hiyo. Bodi nzuri, machine kama haijachezewa ndo kabisaa...ukienda ndefu pakia hata kijimzigo cha kuzugia hapo nyuma.Dogo njoo uchukue Mitsubishi colt apa Kimara 80000 kwa siku nakuwekea full tank Ila hamna kugegedana kwenye gari yangu
Vipi ulikuwa Mitsubishi enhee?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo