Nianzie wapi kutafuta ajira kwa Dar es salaam

Umemshauri vizuri sana....lakini huko nako lazima akutane na purukushani sio rahisi kihivyo...


Na hapo bado hajakutana na Dadaz' wa mjini...watampuna hela zote asipokuwa makini....
Kama nimekuelewa mkuu
 
Naomba mwendelezo ili kesho alfajiri niamkie hapo. Yaani mm nipo mbagala nataka kufika ilala je ni ilala ya wapi na kwenye nn naomba nimalizie mkuu

Ilala sokoni unashukia pale
Kuna kushusha mizigo kubeba

Kama una kamtaji unaweza kuchukua Macao kwenye gari ukauza chini
Au mtaani
 
umetokea mwanza sehemu gani? maana hako kakauli kakupuna tumekatumia sana mwanza enzi za utoto
Umemshauri vizuri sana....lakini huko nako lazima akutane na purukushani sio rahisi kihivyo...


Na hapo bado hajakutana na Dadaz' wa mjini...watampuna hela zote asipokuwa makini....
 
Uza hio smartphone uanzishe biashara ndogondogo kulingana na mazingira yako unayoishi. unaweza kuchoma maindi maana msimu wa mvua upo karibu au kuuza pweza maana inanyweka sana pia hata kuuza karanga.

Jitahidi kusoma alama za nyakati usije ukajiingiza kwenye biashara ya kuuza juice au maji baridi msimu huu wa kuelekea mvua. karibu sana sana mjini na haiitaji PHD ili kuishi mji huu ni ujanjaujanja tu.
 
Back
Top Bottom