dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,399
- 19,417
NitakutafutaNdiyo
NitakutafutaNdiyo
Kama nimekuelewa mkuuUmemshauri vizuri sana....lakini huko nako lazima akutane na purukushani sio rahisi kihivyo...
Na hapo bado hajakutana na Dadaz' wa mjini...watampuna hela zote asipokuwa makini....
Naomba mwendelezo ili kesho alfajiri niamkie hapo. Yaani mm nipo mbagala nataka kufika ilala je ni ilala ya wapi na kwenye nn naomba nimalizie mkuuNjoo ilala saa 10alfajiri hautakosa kazi ya kufanya
Naomba mwendelezo ili kesho alfajiri niamkie hapo. Yaani mm nipo mbagala nataka kufika ilala je ni ilala ya wapi na kwenye nn naomba nimalizie mkuu
Macao ndo mm mkuuIlala sokoni unashukia pale
Kuna kushusha mizigo kubeba
Kama una kamtaji unaweza kuchukua Macao kwenye gari ukauza chini
Au mtaani
Macao ndo mm mkuu
Sina kitu kwa mfuko natafutu ajira za mikono yanguMazao
Umemshauri vizuri sana....lakini huko nako lazima akutane na purukushani sio rahisi kihivyo...
Na hapo bado hajakutana na Dadaz' wa mjini...watampuna hela zote asipokuwa makini....
Haaahaaa yoyote tuu😍😘😍😘kaz gani unataka?